USAFIRI WAANZA KUWA WASHIDA MARA BAADA YA WANAFUNZI UDOM KUPEWA BOOM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

USAFIRI WAANZA KUWA WASHIDA MARA BAADA YA WANAFUNZI UDOM KUPEWA BOOM



 Pichani ni Wanafunzi wakigombania Kuwahi nafasi za kukaa katika daladala mapema leo kutokana na Usafiri kuwa Wa Shida

Mara baada ya wanafunzi wengi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kupewa fedha zao za kujikimu hatimaye usafiri wa kwenda mjini umeanza kuwa ni wa taabu na shida ambapo wanafunzi ukaa kituoni takribani dakika ishirini hadi thelathini wakisubiri daladala wakati wanafunzi hawakupata fedha zao hizo usafiri ulikua sio wa kusumbua na daladala zilikua zinasubiri abiria takribani nusu saa nzima ndio ijaze na kuondoka sasa mambo yamebadilika kutokana na wanafunzi hao kupata fedha na kusababisha usafiri kuwa wa Shida sio wakati wa kwenda mjini tu bali hata kurudi chuo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages