TUME YA KURATIBU MAONI YA KATIBA MPYA YAKABIDHIWA OFISI KATIKA JENGO JIPYA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TUME YA KURATIBU MAONI YA KATIBA MPYA YAKABIDHIWA OFISI KATIKA JENGO JIPYA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI

 Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue kushoto akimtembeza Mwenyekiti wa Tume ya kuratibu maoni ya Katiba mpya Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba  katika ofisi mpya ya Tume hiyo iliyopo katika jengo jipya la Wizara ya mambo ya Ndani ghorofa ya kwanza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika leo kwenye Wizara ya mambo ya ndani jijini Dar es salaam, katikati ni Celina Kombani Waziri wa Sheria na Katiba.
Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue kushoto akimueleza jambo  Mwenyekiti wa Tume ya kuratibu maoni ya Katiba mpya Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba wakati wa makabidhiano ya  ofisi ya Tume hiyo iliyopo katika jengo jipya la Wizara ya mambo ya Ndani ghorofa ya kwanza , wa pili kutoka kushotoni Celina Kombani Waziri wa Sheria na Katiba na Angela Kairuki mbunge wa CCM viti maalum Dar es salaam
 Ofisi inavyoonekana kwa ndani.
 Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba Mpya Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Wariomba wa tatu kutoka kulia akiwa pamoja na viongozi wengine wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa hafla hiyo.
 Baadhi ya wajumbe wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba mpya wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano tayari kwa kuanza  kwa hafla ya makabidhiano ya ofisi watakayoitumia.
 Baadhi ya wajumbe wa Tume ya Kuratibu maoni ya Katiba mpya wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano tayari kwa kuanza  kwa hafla ya makabidhiano ya ofisi watakayoitumia.Picha Kwa Hisani ya Full Shangwe Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages