MATUKIO KATIKA PICHA MARA BAADA YA MBUNGE WA SEGEREA MAKONGORO MAHANGA KUSHINDA KESI LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MATUKIO KATIKA PICHA MARA BAADA YA MBUNGE WA SEGEREA MAKONGORO MAHANGA KUSHINDA KESI LEO

Mbunge wa jimbo la Segerea (CCM) na naibu Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Makongoro Mahanga akilakiwa na wafuasi wa wake baada ya kuibuka kidedea katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa jimbo hilo  iliyokuwa inamkabili katika mahakama kuu ya Tanzania dhidi ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA  Bw. Fredi Mpendazoe.
Baadhi ya wafuasi wa Fredi mpendazoe na wafuasi wa Makongoro Mahanga wakiwa nje ya mahakama mara baada ya hukumu ya kesi hiyo kutolewa.
Wafuasi wa Freddy  Mpendazoe wakiwa na picha ya aliyekuwa mgombea  wao baada ya kushindwa kesi hiyo.
Askari wa jeshi la polisi wakiwa makini kulinda usalama mara baada ya kesi hiyo kuamuliwa katika mahakama kuu leo. (PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages