Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad
akiwakabidhi bendera ya Zanzibar, Watoto wanaowawakilisha Watoto wezao
Mayatima wakiwa na Viongozi wao wanaokwenda nchini Uturuki kuiwakilisha
Zanzibar katika Kongamano la Kimataifa la Kuadhimisha Siku ya Watoto
Yatima litakalofanyika mjini Istambul Uturuki kuanzia tarehe 28/05 hadi
03/06/2012. na kuwajumuisha Watoto wanaotoka Nchi mbalimbali Nduniani
kushiri katika Kongamano hilo.Picha na Salmin Said,-Ofisi ya Makamu wa
Kwanza wa Rais Zanzibar
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad Akabidhi Bendera Ya Zanzibar Watoto Wanaowawakilisha Watoto Wenzao Mayatima Wakiwa na Viongozi Wao Wanaokwenda nchini Uturuki Kuiwakilisha Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad Akabidhi Bendera Ya Zanzibar Watoto Wanaowawakilisha Watoto Wenzao Mayatima Wakiwa na Viongozi Wao Wanaokwenda nchini Uturuki Kuiwakilisha Zanzibar
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)