EVANS BUKUKU'S COMEDY CLUB ILIVYOWABAMBA MASHABIKI NDANI YA NYUMBANI LOUNGE JIJINI DAR ES SALAAM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

EVANS BUKUKU'S COMEDY CLUB ILIVYOWABAMBA MASHABIKI NDANI YA NYUMBANI LOUNGE JIJINI DAR ES SALAAM

IMG_1885
 Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akifanya vitu vyake ndani ya kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam.
IMG_1831
 Baadhi ya wageni waliojitokeza kushuhudia.
IMG_1837
 ...aha... aha wengine waliamua kuweka kumbukumbu.
IMG_1831
Kila mmoja alikuwa na furaha.
IMG_1852
 ...yani wewe hapa ni kazi tu
IMG_1856
 ...wakifuatilia kwa ukaribu.
IMG_1877
IMG_1893IMG_1895
 Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa katika sura ya kazi.
IMG_1896
Mambo yakihifadhiwa.
IMG_1906
IMG_1914
Mchekeshaji maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa pamoja na Enika wa kundi hilo wakionyesha maujuzi yao ya kuimba. Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages