CHINA YAFANYA MKUTANO NA NCHI ZA G-77 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

CHINA YAFANYA MKUTANO NA NCHI ZA G-77

Bi Fauzia Mwita, kutoka Idara ya Mazingira Zanzibar, akishiriki katika majadiliano ya kuweka msimamo wa pamoja wa nchi zinazoendelea katika mkutano wa kundi la G77 na China, katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi unaoendelea mjini Bonn.
Mkurugenzi wa Mazingira Zanzibar, Bw. Sheha Mjaja akifuatilia mjadala wa kuweka msimamo wa pamoja wa nchi zinazoendelea katika mkutano wa kundi la G77 na China, kwenye Mkutano wa mabadiliko ya Tabianchi unaendelea mjini Bonn.
Bw. Ladsalus Kyaruzi (Kulia) na Mhandisi Alphonce Bikulamchi Maafisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki katika majadiliano ya kuweka msimamo wa pamoja wa nchi zinazoendelea katika kundi la G77 na China.katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea mjini Bonn nchini Ujerumani. (Picha na Evelyn Mkokoi)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages