Airtel yaongeza zawadi ya Tsh 143 m/-katika promosheni ya Nani Mkali - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Airtel yaongeza zawadi ya Tsh 143 m/-katika promosheni ya Nani Mkali

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akitangaza  kuongeka kwa  zawadi ya  hadi Tsh 143 m/-katika promosheni ya Nani Mkali itakayoendelea kwa muda wa miezi miwili zaidi, kulia ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Dangio Kaniki akifuatilia wakati wa mkutano wa waandishi wa habari (hawapo pichani) Ili kushiriki promosheni andika  neno “Mkali” tuma kwenda  15656 bure. Baada ya hapo atatumiwa maswali na kila atakapo toa jibu sahihi atapata pointi 20 na jibu lisilo sahihi pointi 10.Kila ujumbe wenye jibu utatozwa shillingi 350 pamoja na kodi.
 
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imeongeza muda kwa wateja wake kuendelea kucheza promosheni yake kabambe ya Nani mkali ambayo ilianza miezi mitatu iliyopita na kuwafaidisha zaidi ya wateja 90 wa Airtel waliojishindia jumla ya miliono 217 kwa mgawanyo wa kuanzia milioni 1 kila siku, milioni 3 kila wiki na milioni 30 kwa washindi wa mwezi 
 Akiongea na waandishi wa habari leo Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando alisema promosheni hii imekuwa na faida kwetu Airtel wateja wetu waliokuwa wakishiriki wameifurahia na ndio maana leo tumeamua kuongeza zawadi na muda wa promosheni ya Nani Mkali

Hivyo promosheni yetu inaongezwa muda wa miezi miwili huku zawadi zitakazo toka ni pesa taslim Jumla ya ya shilingi milioni 143 katika mgawanyo wa kuanzia shilingi  milioni 1 kila siku-washindi 52, milioni 3 kila wiki –washindi 7,na milioni 30 kwa kila mwezi  itatoka kwa washindi 2.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages