NAIBU WAZIRI WA SAYANSI NA MAWASILIANO AFUNGUA MKUTANO WA MAWASILIANO NCHI ZA (SADC) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NAIBU WAZIRI WA SAYANSI NA MAWASILIANO AFUNGUA MKUTANO WA MAWASILIANO NCHI ZA (SADC)

 Naibu Waziri wa Sayansi na  Mawasiliano Charles Kitwanga akifungua mkutano wa mwaka wa 32 wa Umoja wa Taasisi za Mawasiliano KUsini mwa Afrika unaofanyika kwa siku mbiliunaojadili mambo mbalimbali katika mawasiliano ya simu ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kidigitali, mkutano huo unahudhuriwa na wajumbe kutoka nchi 14 za (SADC) Zimbabwe, Namibia, Botswana, Malawi Msumbiji, Afrika Kusini Rethoto na Tanzania

 Naibu Waziri wa Sayansi na  Mawasiliano Charles Kitwanga akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua rasmi mkutano huo.
 Naibu Waziri wa Sayansi na  Mawasiliano Charles Kitwanga katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano huo.
 Mkurugenzi mtendaji wa TTCL Said Amir Said akimkaribisha Naibu Waziri wa |Sayansi na Mawasiliano Charles Kitwanga ili kufungua mkutano huo.
 wajumbe mbalimbali kutoka nchi za SAADC wakiwa katika mkutano huo.
 wajumbe mbalimbali kutoka nchi za SAADC wakiwa katika mkutano huo.Picha Kwa Hisani Ya Full shangwe Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages