Usiku wa HIP HOP Ni Machi 4, 2012 Ndani ya Ukumbi wa Dar Live Jijini Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Usiku wa HIP HOP Ni Machi 4, 2012 Ndani ya Ukumbi wa Dar Live Jijini Dar es Salaam

 
Meneja Mkuu wa Global Publishers na Mratibu Msaidizi wa tamasha hilo, Abdallah Mrisho akizungumza katika mkutano huo.
Profesa J akitoa vionjo katika mkutano wa leo.
Joh Makini naye akithibitisha kufanya makamuzi ambayo hayajawahi kutokea.
Wanahabari wakifuatilia jambo kwenye mkutano huo.
Mapaparazi wakifanya kazi yao.Picha na Habari na Richard Bukos-GPL
--
Wadau mbalimbali wa muziki wa Hip Hop hapa nchini, Jumapili ya Machi 4 mwaka huu wanatarajiwa kufurika ndani ya ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam kuhudhuria onesho kabambe la Hip Hop. Katika usiku huo wadau mbalimbali waliochangia muziki huu kufikia hapa ulipo watatunukiwa tuzo. Wakali wa muziki huo Profesa J na Joh Makini wamewawakilisha wasanii wenzao wa muziki huo katika mkutano wa kuthibitisha kushiriki tamasha hilo uliofanyika mchana huu ndani ya ofisi za Global Publishers zilizopo Mwenge jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages