Mamia
ya Watanzania wanaoishi jijini New York jana jumamosi Jan 21,2012
wamiminika katika ukumbi wa The Portuguese American Club Moun Vernon,
New York kumuunga mkono na kumkaribisha rasmi, muimbaji marufu wa
miondoko ya rusha roho, maarufu kwa jina la Mzee Yusuf ikiwa ni mara
yake ya kwanza muimbaji huyo kuwasili na kutumbuiza jijini hapo. Picha
kwa hisani ya VIJIMAMBO
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)