Mzee Yusuf atoa burudani tosha kwa Watanzania wanaoishi katika jiji la New York City - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mzee Yusuf atoa burudani tosha kwa Watanzania wanaoishi katika jiji la New York City

Mamia ya Watanzania wanaoishi jijini New York  jana jumamosi Jan 21,2012 wamiminika katika ukumbi wa The Portuguese American Club Moun Vernon, New York  kumuunga mkono na kumkaribisha rasmi, muimbaji marufu wa miondoko ya rusha roho,  maarufu kwa jina la Mzee Yusuf  ikiwa ni mara yake ya kwanza muimbaji huyo kuwasili na kutumbuiza jijini hapo. Picha kwa hisani ya VIJIMAMBO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages