Mchezaji wa Man United Welbeck akifunga bao la pili.
Katika dakika dakika 80 Welback alitingisha wavu tena kwa bao la pili na
kusababisha Man United kutoka kidedea kwa bao 2-1 dhidi ya Arsenal.
Mpira uliendelea kwa kasi, vuta ni kuvute timu zote mbili zilikuwa
zikifanya mashambulizi ya kushinda mchezo huo kwa matumaini ya kutuliza
mpira chini, kwa utulivu na makini, kipindi cha pili dakika 71 mchezaji
wa Arsenal Robin van Persie kusawazisha bao 1-1 katika mchezo huo
uliochezwa leo hii.
Kizaa zaa kiliaza tena pale timu ya Man United kubadilisha mchezo baada ya timu Arsenal kusawazisha bao hilo.
Kizaa zaa kiliaza tena pale timu ya Man United kubadilisha mchezo baada ya timu Arsenal kusawazisha bao hilo.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)