Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Lindi mjini, Salum Baruani, wakati
alipowasili kwenye Shule ya Sekondari Mnolela, lindi kwa ajili ya
kuzindua Jengo la Utawala la shule hiyo, jana januari 21, 2012, wakati
akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Lindi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifurahia ngoma ya asili wakati alipowasili kwenye shule ya
Sekondari ya Mnolela, alipofika kuzindua Jengo la Utawala la shule hiyo,
akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Lindi jana, Januari 21, 2012.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akifunua kitambaa ikiwa ni ishara ya kuweka jiwe la Msingi katika jengo
jipya la Utawala la Shule ya Sekondari Mnolela, iliyopo kijiji cha
Luhokwe, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Lindi jana Januari
21, 2012.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Lindi, kuelekea kukagua
ujenzi wa jengo la Bweni la wasichana shule ya Sekondari ya Kineng’ene,
akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Lindi, jana Januari 21, 2012.

Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na mkewe, Mama Zakhia Bilal, wakifurahia ngoma ya asili baada ya Makamu
kumaliza kuwahutubia wananchi wa Uwanja wa Fisi, mkoani Lindi jana
Januari 21.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)