RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA MAFURIKO DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA MAFURIKO DAR

Rais Jakaya Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi waliokuwa upande wa pili wa Mto Msimbazi, walioathirika na mafuriko kutokana na maji yaliyojaa katika nyumba zao na maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam, bbada ya mvua kubwa iliyonyesha kuanzia juzi na kusababisha maafa makubwa kwa wakazi wa jijini.
Rais Jakaya Kikwete, akifunua moja ya kifaa kilichokuwa kimehifahia chakula kwa ajili ya waathirika wa mafuriko wakati alipotembelea maeneo yaliyoathirika na mafuriko leo.
Baadhi ya wananchi wa maeneo ya Upanga walioathirika na mafuriko wakiwa katika foleni ya kusubiri mgao wa chakula.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages