Pages

TUNATAKA BAJETI YA KUONDOA KERO KAMA HIZI!

Wananchi wa kijiji cha Lupanga wilaya ya Ludewa mkoani Iringa wakisafiri katika usafiri wa trekta kama inavyoonekana pichani. Wananchi hao amabao wengi wao ni wakulima wameiomba serikali kuwajali katika bajeti itakayotangazwa leo huko mjini Dododma.
 
Picha kwa hisani ya Francis Godwin Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)