WANANCHI WAVUTIWA NA HUDUMA ZA BENKI YA NMB MAONESHO YA SABASABA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WANANCHI WAVUTIWA NA HUDUMA ZA BENKI YA NMB MAONESHO YA SABASABA

Mmoja wa maofisa wa Benki ya NMB (kulia) akimfafanulia jambo mteja aliyetembelea Banda la NMB kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa, Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.



Mteja wa Benki ya NMB akipata huduma katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa, Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.


Wateja waliotembelea Banda la NMB kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa, Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam wakipata huduma anuai za kibenki.

Mmoja wa maofisa wa Benki ya NMB (kulia) akimfafanulia jambo mteja aliyetembelea Banda la NMB kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa, Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.


Muonekano wa Banda la NMB kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa, Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Kikosi kazi cha Benki ya NMB kinachotoa huduma ndani ya Banda la NMB kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa, Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam katika pozi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages