FLAVIANA MATATA AZULU KABURI LA MAMA YAKE MZAZI KUKUMBUKA AJALI YA MELI YA MV BUKOBA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

FLAVIANA MATATA AZULU KABURI LA MAMA YAKE MZAZI KUKUMBUKA AJALI YA MELI YA MV BUKOBA

 Mwanamitindo, Flaviana Matata (wa pili kulia) akiomba dua katika kaburi la mama yake Mzazi maeneo ya Igoma mkoani Mwanza katika siku ya kukumbuka ajali ya MV Bukoba iliyoua watu takribani 1000  Mei 21, 1996.  Flaviana mbali na kukumbuka waliofariki katika ajali hiyo akiwamo mama yake mzazi pia alikabidhi msaada wa vifaa vya kuokolea maisha  kwa Shirika la Kiserikali la Usafiri wa Maji Mwanza.
Mwanamitindo wa kimataifa wa mitindo Tanzania, Flaviana Matata akikabdhi moja ya kifaa cha kuokolea maisha katika vyombo vya  usafiri wa majini katika Ziwa Victoria kwa Elias Makori aliyemwakilisha  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza  jana. Flaviana alikabidhi vifaa hivyo kwa Shirika la Kiserikali la Usafiri wa Maji Mwanza (Mwanza MerineCompany Limited)  ikiwa moja ya kuadhimisha siku ya hudhuni ya ajali ya meli ya MV Bukoba iliyotokea Mei 21 mwaka 1996 na kuuwa watu zaidi ya 1000 akiwemo mama yake mzazi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages