Thursday, March 01, 2012

WAZIRI WA SERIKALI ZA MITAA WA RWANDA MH JAMES MUSONI ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA DODOMA JANA

http://2.bp.blogspot.com/-Rv0HrTU0h8c/T05OXyJtofI/AAAAAAACHFw/RopKx01cD_w/s1600/IMG_1565.JPG 
Mkuu wa Kitivo cha Sanaa na Sayansi ya Jamii kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Casmir Rubagumya (kushoto) akimpa ufafanuzi Waziri wa Serikali za Mitaa wa Rwanda Mhe.James Musoni wakati Waziri huyo alipotembelea Chuo Kikuu cha Dodoma jana.Picha Na Michuzi Blog

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Join me on Facebook Follow me on Twitter Find me on Youtube